BAJETI YA WAZIRI MUHONGO YAAHIRISHWA BUNGENI



Hotuba ya Bajeti ya Nishati na Madini iliyotakiwa isomwe kesho, imeahirishwa na badala yake itasomwa Jumatatu. 
Kwa mujibu wa mabadiliko ya ratiba iliyotolewa na Ofisi ya Bunge jana, badala ya bajeti ya Nishati na Madini kusomwa kesho, itasomwa ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na maendeleo ya makazi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI