BURUDANIZari akoleza mahaba kwa Diamond


Ikiwa imepita wiki kwa sumbaa picha zikimuonesha wema na Diamond wapo kwenye party ya Meneja wa Diamond, Zari akapost picha ya kutaka tumuombee ex- wake Ivan apone kwani anaumwa na amelazwa katika hospital moja huko Afrika Kusini
Hatimaye leo Zari ameamua kuweka wazi kuwa yeye na mpenzi wake Diamond mambo kwao ni safi tu. Zari amepost picha akiwa na baby daddy wake huyo kupitia Instagram zikiwa ni throwback ya picha za arobaini ya mtoto wao wa pili Nillan.
Siku chache zilizopita Wema Sepetu Naye alimjibu shabiki yake kuwa yeye na Diamond hakuna kitu na kwamba watu wamuombee apate mume bora na sio bora mume.
Na Laila Sued


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI