Mkuu wa wilaya ya Ikungi Miraji Mtaturu(katikati) na viongozi wa Kijiji cha Italala na wa Kata ya Sepuka wakiwa na mzee mwenye ulemavu Idd Choyo walipomtembelea nyumbani kwake,
Lengo la kumtembelea ni kujua maendeleo yake toka alipojengewa nyumba ya kuishi na serikali mwaka 2006 na kutekeleza ombi alilowahi kutoa mzee huyo la kujengewa choo na jiko ambapo DC Mtaturu ameahidi kumpatia mabati,mbao na gharama za fundi kwa ajili ya kupaua huku Kata na kijiji wakiahidi kusaidia matofali na kuchimba shimo la choo.
Comments