JPM AKIWA KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI



Rais Dkt.John Magufuli akiwa uwanja wa Chuo cha Ushirika mjini Moshi katika sherehe za maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani,kutoka kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki,Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,Rais wa Shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tumaini Nyamhokwa, Waziri Jenista Joakim Mhagama  Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu,Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan. 



 Rais Dkt.John Magufuli akiwa uwanja wa Chuo cha Ushirika mjini Moshi katika sherehe za maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani,kutoka kushoto Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John William Kijazi,Spika wa Bunge Job Ndugai ,Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan,Waziri Jenista Joakim Mhagama  Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Rais wa Shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tumaini Nyamhokwa,Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki, na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Said Meck Sadik 






 Maandamano ya wafanyakazi wakipita mbele ya Rais Jogn Magufuli katika Viwanja vya ushirika mjini Moshi katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani.


 Maandamano ya wafanyakazi wakipita mbele ya Rais Jogn Magufuli katika Viwanja vya ushirika mjini Moshi katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani.

 Maandamano ya wafanyakazi wakipita mbele ya Rais Jogn Magufuli katika Viwanja vya ushirika mjini Moshi katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani.
 Maandamano ya wafanyakazi wakipita mbele ya Rais Jogn Magufuli katika Viwanja vya ushirika mjini Moshi katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani.


  Rais John Pombe Magufuli akiongoza kuimba wimbo wa wafanyakazi wa SOLIDARITY FOREVER katika uwanja wa Chuo cha Ushirika mjini Moshi katika kilele cha sherehe za Mei Mosi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*