KAMANDA SIRO ALIVYOKULA KIAPO IKULU DAR


Leo May 29, 2017 Rais Magufuli amemwapisha Simon Sirro kuwa Mkuu wa Jesho la Polisi Tanzania (IGP), baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo May 28. IGP Sirro amechukua nafasi ya Ernest Mangu ambaye imeelezwa atapangiwa kazi nyingine.
Nimekuwekea hapa picha za matukio yote ya kuapishwa kwa IGP Sirro.
             
VIDEO: Cha mwisho alichokizungumza IGP Mstaafu Ernest Mangu, bonyeza play hapa chini kutazama.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI