MECK SADICK AVUNJA UKIMYA

"Sababu za kuacha kazi anazijua Rais niliyemuomba, siwezi kumtangazia kila mtu hili, ila changamoto kubwa ni pale unapotaka kitu fulani kifanyike na hakifanyiki, hiki ni kitu kinachotuumiza sana viongozi. Kwa mfano utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi na wananchi wana matarajio kwamba itakapofika 2020 serikali ya CCM itakuwa imefanya moja, mbili, tatu, nne sasa yasipofikia hayo matarajio yao ni changamoto kubwa" - Said Meck Sadick 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA