Mshauri wa Usalama wa Trump kuachia ngazi


Gorka ataondoka siku chache zijazo
Image captionGorka ataondoka siku chache zijazo
Taarifa kutoka Washington zinasema kuwa mmoja wa washauri muhimu sana wa Rais Donald Trump Sebastian Gorka anatarajia kujiuzulu nafasi hiyo.
Gorka mjuzi wa masuala ya usalama wa taifa anashutumiwa kuvaa medali aliyozawadiwa na kikundi kimoja kutoka nchini Hungary ambacho kina uhusiano na mfumo wa Kinazi.
Kabla ya kufanya kazi na Trump, Gorka alikuwa mhariri wa tovuti iitwayo Breitbart.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA