Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (kulia)
akisalimiana na Mkurugenzi Mkazi wa JHPIEGO nchini Tanzania.
Jeremie Zoungana, aliyekuja kuzungumza naye na kubadilishana uzoefu wa
kazi, kabla ya kuanza kikao kilichofanyika juzi Ofisini kwake Mjini
Dodoma
Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (kulia)
akizungumza na ugeni uliomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma,
ukiongozwa na Mkurugenzi Mkazi wa JHPIEGO nchini Tanzania Ndg. Jeremie
Zoungana (wa pili kulia).
Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (kulia)
akimsikiliza Mkurugenzi wa Mradi wa USAID wa Boresha Afya, Ndg. Dustan
Bishanga (wa pili kushoto) akizungumza leo katika kikao kilichofanyika
Ofisini kwake Mjini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
akisalimiana na Mkurugenzi Mkazi wa JHPIEGO nchini Tanzania.
Jeremie Zoungana, aliyekuja kuzungumza naye na kubadilishana uzoefu wa
kazi, kabla ya kuanza kikao kilichofanyika juzi Ofisini kwake Mjini
Dodoma
Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (kulia)
akizungumza na ugeni uliomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma,
ukiongozwa na Mkurugenzi Mkazi wa JHPIEGO nchini Tanzania Ndg. Jeremie
Zoungana (wa pili kulia).
Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (kulia)
akimsikiliza Mkurugenzi wa Mradi wa USAID wa Boresha Afya, Ndg. Dustan
Bishanga (wa pili kushoto) akizungumza leo katika kikao kilichofanyika
Ofisini kwake Mjini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Comments