Ushauri wa Mbunge wa Kilindi kuhusu migogoro ya Ardhi (+Video)


Bunge la Bajeti linaendelea Dodoma huku Wabunge wakiendelea kuchangia Bajeti za Wizara mbalimbali ambapo Mbunge wa Kilindi Omari Kigua ni miongoni mwa Wabunge waliopata nafasi ya kuchangia mapendekezo katika Wizara ya Ardhi na moja kati ya vitu alivyozungumzia ni migogoro ya wakulima na wafugaji.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*