BREAKING NEWS: AZAM FC YAZIDI KUITESA YANGA, YAMSAJILI KIUNGO WA MBAO ALIYEKUWA AKINUKIA JANGWANI




Klabu ya Azan FC imeendelea kufanya yake baada ya kumsajili kiungo kutoka Mbao FC.

Salmini Hoza ndiye alikuwa akifanya kazi ya ukabaji na kupanga mashambulizi ya Mbao FC na alikuwa akiwaniwa na Yanga lakini tayari amesaini mkataba wa miaka miwili na Azam FC.


Hoza anakuwa mchezaji wa tatu aliyekuwa akitakiwa na Yanga lakini ametua Azam FC.

Awali, Waziri Junior wa Toto African alifika hadi makao makuu ya Yanga na kupiga picha na kombe la ubingwa, mwisho akatua Yanga.

Pili ni Mbaraka Yusuf wa Kagera Sugar ambaye ilibaki kidogo atue Yanga, naye kasajili Azam FC.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.