BULEMBO ACHANJA MBUGA NA KUMALIZA ZIARA YA MKOA WA KIGOMA


 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo akipandisha bendera, kuzindua Shina namba sita la CCM la Kiyobela, Katika Kijiji cha Kabiko wilayani Kakonko mkoani Kigoma, leo.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo akiondoa bendera kwenye jiwe la Msingi, kuzindua Shina namba sita la CCM la Kiyobela, Katika Kijiji cha Kabiko wilayani Kakonko mkoani Kigoma, leo.
 Wanacha wa Jumuia ya Wazazi wakimpa zawadi ya asali baada ya kuzindua Shina hilo.
 Viongozi wa Shina hilo, wakimkabidhi Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo risala yao waliyosoma wakati wa uzinduzi wa shina hilo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Kakonko Ayub Ngaramo na Watatu kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Amani Kaborou
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo akishiriki kuselebuka na Kinamama wa CCM waliompokea alipowasili kuzindua shina Namba Sita la CCM la Kiyobela, Katika Kijiji cha Kabiko wilayani Kakonko mkoani Kigoma, leo.
 Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Kigoma, Mbunge wa viti maalum Josephine Ngezabuke (watatu kushoto), akiselebuka na Kina mama wa CCM wakati wa uzinduzi wa Shina hilo.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdalla Bulembo akisaini kitabu cha wageni Kabla ya kuzindua Shina namba Sita la CCM la Kiyobela, Katika Kijiji cha Kabiko wilayani Kakonko mkoani Kigoma, leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Amani Kabourou na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kakonko Ayub Ngaramo
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulelmbo akimwambia jambo Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Kanali Hosea Ndagala, baada ya kuzindua Shina namba Sita la CCM la Kiyobela, Katika Kijiji cha Kabiko wilayani Kakonko mkoani Kigoma, leo. Kulia ni Katibu wa CCM mkoa wa Kigoma Naomi Kapambala
 Mjube wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akipata maelezo kutoka kwa baadhi ya viongozi, alipokagua ujenzi wa Ofisi ya CCM Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, leo
 Katibu wa CCM mkoa wa Kigoma, Naomi Kapambala na Baadhi ya viongozi wakitazama ujenzi wa ofisi hiyo unavyoendelea. 
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo 'akitroti' kidogo, wakati akitoka kukagua ujenzi wa Ofisi ya CCM Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma leo
 Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Ofisi ya CCM Wilaya ya Kakonko

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akipandisha bendera kuzindua Shina la CCM Namba Sita, Tawi la Kakonko Msufini, Wilayani Kakonko mkoani Kigoma, leo. Kulia (aliyeketi) ni Mwenyekiti wa Shina hilo Ramadhan Adam ambaye ana ulemavu wa miguu. 
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akiondoa kitambaa kuzindua Shina la CCM Namba Sita, Tawi la Kakonko Msufini, Wilayani Kakonko mkoani Kigoma, leo. 
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo akimsalimia Mwenyekiti wa Sina la CCM Namba Sita, Tawi la Kakonko Msufini, Wilayani Kakonko mkoani Kigoma, Ramadhan Adam mwenye ulemavu wa miguu, baada ya kuzindua shina hilo.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Ahlaj Abdallah Bulembo akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi na wanachama wa CCM, baada ya kuzindua shina hilo hilo
 Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Kakonko, Mabalozi, Viongozi na watendaji wa CCM, Watendaji wa Serikali na Viongozi mbalimbali wa CCM na Jumuia zake. Walisimama kwa nderemo na vifijo Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo alipokuwa akiingia ukumbini kuzungumza nao katika kikao cha ndani.
 Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Kakonko, Mabalozi, Viongozi na watendaji wa CCM, Watendaji wa Serikali na Viongozi mbalimbali wa CCM na Jumuia zake. Walisimama kwa nderemo na vifijo Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo alipokuwa akiingia ukumbini kuzungumza nao katika kikao cha ndani.
  Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Kakonko, Mabalozi, Viongozi na watendaji wa CCM, Watendaji wa Serikali na Viongozi mbalimbali wa CCM na Jumuia zake. Walisimama kwa nderemo na vifijo Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo alipokuwa akiingia ukumbini kuzungumza nao katika kikao cha ndani.
  Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Kakonko, Mabalozi, Viongozi na watendaji wa CCM, Watendaji wa Serikali na Viongozi mbalimbali wa CCM na Jumuia zake. Walisimama kwa nderemo na vifijo Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo alipokuwa akiingia ukumbini kuzungumza nao katika kikao cha ndani.
KIKAO CHA NDANIπŸ”» 
 Katibu wa CCM wa CCM mkoa wa Kigoma Naomi Kapampala akifanya utambulisho kabla ya Mjumbe wa Kamati ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo kuzungumza  katika kikao cha ndani cha Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Kakonko, Mabalozi, Watendaji wa Serikali na Watendaji wa CCM na viongozi mbali mbali wa CCM na Jumia zake, leo.
 Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Kanali Hosea Ndagala akisalimia baada ya kutambulishwa kwenye kikao hicho 
 Nwebyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Kigoma, Mbunge wa Viti Maalum Josephine Ngenzabuke akisalimia baada ya kutabulishwa kwenye kikao hicho
 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kakonko Ayub Ngaramo akifungua kikao hicho.
 Ofisa kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Tanzania Omar Kalolo akitamba ukumbini wakati akisalimia baada ya kutambulishwa
 Msaidizi katika Ofisi ya Siasa na Oganaizesheni Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Tanzania Fadhili Mlami akisalimia baada ya kutambulishwa kwenye kikao hicho
 Baadhi ya maofisa na wadau wakiwa kwenye kikao hicho
 Katibu wa Siasa na Oganaizesheni Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Tanzania Daniel Mgaya akisalimia baada ya kutambulishwa kwenye kikao hicho
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma, Dk. Amani Kaborou akikmaribisha Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo kuzungumza katika kikao hicho
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Kakonko, Mabalozi, Viongozi na watendaji wa CCM, Watendaji wa Serikali na Viongozi mbalimbali wa CCM na Jumuia zake, kikao hicho cha ndani.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Kakonko, Mabalozi, Viongozi na watendaji wa CCM, Watendaji wa Serikali na Viongozi mbalimbali wa CCM na Jumuia zake, kikao hicho cha ndani. PICHA: BASHIR NKOROMO

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA