Preview YouTube video Serikali Yawatoa Hofu Wazabuni Wanaodai Fedha Zao
Preview YouTube video Mawakili Wapya 248 Watakiwa Kuzingatia Maadili Na Kujiepusha Na Rushwa
Preview YouTube video Serikali Kupanua Bandari Ya Lindi
Preview YouTube video Viongozi Wa Miradi Ya Kilimo Wapewa Changamoto
Preview YouTube video Waazimia Korosho Kubanguliwa Nchini
Preview YouTube video Diwani Kata Ya Muriet Ajiuzulu
Preview YouTube video Watanzania Watakiwa Kukataa Kugawanywa Katika Makundi
Preview YouTube video Serikali Kushirikiana Zaidi Na Waajiri
Preview YouTube video Manispaa Ya Ubungo Yaondoa Mabango Ya Wadaiwa Sugu Wa Kodi
Preview YouTube video CRDB Yatajwa Kuwa Benki Yenye Ubunifu Wa Huduma
Preview YouTube video Startimes Yatangaza Kuboresha Huduma Zake
Preview YouTube video Malinzi Na Wenzake Wasomewa Mashitaka 28 huku
Preview YouTube video Uchaguzi Wa Viongozi Wa Klabu Ya Majimaji
Preview YouTube video Diamond Azindua Biashara Ya Karanga
Preview YouTube video Defoe Arejea Fc Bournemouth
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments