Preview YouTube video Wabunge Waishauri Serikali Kuelekea Uwasilishwaji Wa Bajeti Kuu
Preview YouTube video ACT Wazalendo Wampongeza Rais Magufuli
Preview YouTube video Waliokula Fedha Za Wakulima Wa Korosho Watakiwa Kuzirejesha
Preview YouTube video EWURA Wawataka Wadau Kutoa Maoni Mkataba Wa IPTL
Preview YouTube video Wataka Kufanyiwa Marekesho Sheria Ya Utoaji Wa Vibali Kwa Wahamiaji
Preview YouTube video Askari Wastaafu Wampongeza Rais Magufuli
Preview YouTube video Wanaowapa Mimba Wanafunzi Waonywa
Preview YouTube video Mgomo Wa Wafanyabiashara Nzega
Preview YouTube video Wamiliki Wa Maduka Wawalalamikia Machinga Kariakoo
Preview YouTube video Wajasiriamali Walamikia Kushuka Kwa Biashara
Preview YouTube video Taifa Stars Yarejea Nchini Kuikabili Lesotho Jumamosi
Preview YouTube video JKT Kutoa Nafasi Kwa Vijana Wenye Vipaji Vya Michezo
Preview YouTube video Manchester United Klabu Yenye Thamani Kubwa Zaidi Duniani
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments