HABARI MPASUKOOO!!!! BASI LA BATCO LATEKETEA KWA MOTO MARA

 Basi la Batco namba T192DHW likiteketea kwa moto katika eneo la Kirumi, Kata ya Bukabwa, mkoani Mara leo. Basi hilo linafanya safari zake Tarime-Sirari na Mwanza. Hakuna mtu aliyejeruhiwa bali mali za baadhi ya abiria zimeteketea. (PICHA KWA HISANI YA CLEO 24NEWS)


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.