JPM AKIONGEA LIVE NA WANANCHI WA KIBAHA PWANI

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli yupo mkoani Pwani kwa ziara ya kikazi ambapo leo anawahutubia wananchi wa Bwawani, Kibaha mkoani humo.
Katika siku za hivi karibuni, Mkoa wa Pwani umekumbwa na mfululizo wa matukio ya mauaji, jambo linaloonesha kumkera sana mheshimiwa rais.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI