- Get link
- Other Apps
Aunty
Rehema (kati) akiwa katika picha ya pamoja na Mr and Mrs Gao siku ya
Jumamosi June 10, 2017 Silver Spring, Maryland nchini Marekani siku
akina dada DMV wakitaribiwa na TAMCO walipomfanyia dua.
Aunty Rehema akijipakulia futari siku
ya Jumamosi June 10, 2017 Silver Spring, Maryland nchini Marekani siku
akina dada DMV wakitaribishwa na TAMCO walipomanyia dua la kumwombea.
Wakina dada wa DMV waandaaji huku wakiwa wameratibiwa na TAMCO wakiwa katika picha ya pamoja na Aunty Rehema.
Kushoto ni Ustadh Gadafi pamoja na Miki wakiongoza dua la kumwombea Aunty Rehema.
Kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Comments