KISOMO CHA DUA YA KUMWOMBEA AUNTY REHEMA CHAFANYIKA DMV

Aunty Rehema (kati) akiwa katika picha ya pamoja na Mr and Mrs Gao siku ya Jumamosi June 10, 2017 Silver Spring, Maryland nchini Marekani siku akina dada DMV wakitaribiwa na TAMCO walipomfanyia dua.

Aunty Rehema akijipakulia futari  siku ya Jumamosi June 10, 2017 Silver Spring, Maryland nchini Marekani siku akina dada DMV wakitaribishwa na TAMCO walipomanyia dua la kumwombea.

Wakina dada wa DMV waandaaji huku wakiwa wameratibiwa na TAMCO wakiwa katika picha ya pamoja na Aunty Rehema.

Kushoto ni Ustadh Gadafi pamoja na Miki wakiongoza dua la kumwombea Aunty Rehema.

Kwa picha zaidi bofya soma zaidi




Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA