KUMBUKIZI;TEAM KINANA IKIWA BUKOBA KIKAZI

Waandishi wa habari waliokuwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Abdulrahman Kinana ya kuimarisha uhai wa chama hicho miaka miwili iliyopita. Kutoka kushoto ni Mpigapicha Mkuu wa Gazeti la Jambo Leo ambaye pia ni mmiliki wa Blog ya Kamanda wa Matukio, Richard Mwaikenda, Pius Mtangazaji wa Uhuru FM Radio, Ahmad Michuzi wa Michuzi Blog, Mary Geofrey wa Nipashe, Patricia Kimelemeta wa Mtanzania na John Bukuku wa Fullshangwe Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*