MAKAMU WA RAIS, MHE. SAMIA SULUHU AZINDUA MASHINDANO YA COPA UMISSETA KITAIFA JIJINI MWANZA


Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan akiwa ameshika mpira ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa mashindano ya Copa UMISSETA yanayoendelea mkoani Mwanza.Uzinduzi huo ulifanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.  Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Seleman JafFo akizungumza kwenye uzinduzi huo uliofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Afisa Msaidizi wa Masoko wa Coca-Cola nchini, Pamela Lugenge, akiongea wakati wa uzinduzi wa mashindano haya chini ya udhamini wa kampuni hiyo.
Afisa Msaidizi wa Masoko wa Coca-Cola, Pamela Lugenge akimkabidhi Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan ,zawadi ya Mpira kwenye uzinduzi wa Copa UMISSETA.
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan akikagua baadhi ya timu kwenye uzinduzi wa Copa UMISsETA.
Mkurugenzi wa Nyanza Bottling Co. Ltd ya Mwanza, Christopher Gachuma akisalimiana na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan.
Wanafunzi wa jiji la Mbeya wakipita na kutoa heshima kwa Makamu wa Rais.
Wanafunzi wa mkoa wa Pwani wakipita na kutoa heshima kwa Makamu wa Rais.
Wanafunzi wa mkoa wa Rukwa wakipita na kutoa heshima kwa Makamu wa Rais.
Wanafunzi wa mkoa wa Ruvuma wakipita na kutoa heshima kwa Makamu wa Rais.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA