Afisa Msaidizi wa Masoko wa Coca-Cola nchini, Pamela Lugenge, akiongea wakati wa uzinduzi wa mashindano haya chini ya udhamini wa kampuni hiyo.
Afisa Msaidizi wa Masoko wa Coca-Cola, Pamela Lugenge akimkabidhi Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan ,zawadi ya Mpira kwenye uzinduzi wa Copa UMISSETA.
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan akikagua baadhi ya timu kwenye uzinduzi wa Copa UMISsETA.
Wanafunzi wa jiji la Mbeya wakipita na kutoa heshima kwa Makamu wa Rais.
Wanafunzi wa mkoa wa Pwani wakipita na kutoa heshima kwa Makamu wa Rais.
Wanafunzi wa mkoa wa Rukwa wakipita na kutoa heshima kwa Makamu wa Rais.
Wanafunzi wa mkoa wa Ruvuma wakipita na kutoa heshima kwa Makamu wa Rais.
Comments