Man United yaongoza kwa utajiri wa vilabu duniani



Klabu ya Manchester United imetajwa kuongoza orodha ya vilabu vyenye thamani kubwa duniani.
Kwa mujibu wa Kampuni ya KPMG, imesema timu hiyo imeongoza orodha hiyo kutokana na haki za kupeperusha matangazo, faida, umaarufu, uwezo kimchezo na umiliki wa uwanja. Hizi ni timu 15 zinazoongoza orodha hiyo.
1. Manchester United (€3.004bn)
2. Real Madrid (€2.895bn)
3. Barcelona (€2.688bn)
4. Bayern Munich (€2.367bn)
5. Manchester City (€1.909bn)
6. Arsenal (€1.882bn)
7. Chelsea (€1.524bn)
8. Liverpool (€1.260bn)
9. Juventus (€1.158bn)
10. Tottenham Hotspur (€978m)
11. Paris Saint-Germain (€948m)
12. Borussia Dortmund (€917m)
13. Atletico Madrid (€771m)
14. Schalke (€663m)
15. AC Milan (€504m)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.