MTEMVU AFIWA NA MAMAKE



Mbunge wa zamani wa Jimbo la Temeke na Kamanda wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam,
Abbas Mtemvu amefiwa na mama yake  mzazi Sitti Kilungo  Mtemvu kilichotokea siku ya jumatano. Msiba upo Masaki  Mtaa wa Haile Selasie karibu na Hospitali ya Oysterbay.
 Mazishi yanatarajiwa kufanyika leo saa kumi  alasiri katika  makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam. (PICHA KWA HISANI YA FAMILIA, KHAMISI MUSSA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.