Mbunge wa zamani wa Jimbo la Temeke na Kamanda wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam,
Abbas Mtemvu amefiwa na mama yake mzazi Sitti Kilungo Mtemvu kilichotokea siku ya jumatano. Msiba upo Masaki Mtaa wa Haile Selasie karibu na Hospitali ya Oysterbay.
Mazishi yanatarajiwa kufanyika leo saa kumi alasiri katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam. (PICHA KWA HISANI YA FAMILIA, KHAMISI MUSSA)
Mazishi yanatarajiwa kufanyika leo saa kumi alasiri katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam. (PICHA KWA HISANI YA FAMILIA, KHAMISI MUSSA)
Comments