MVUA ILIVYONINUFAISHA DAR

 Mmiliki wa blogu hii, Richard Mwaikenda akiwa na familia yake Kivule, Ukonga, Dar es Salaam kwenye kashamba kake ka mahindi manufaa aliyoyapata kutoka na mvua iliyokuwa inanyesha Dar es Salaa kwa takribani mwezi mmoja. Aliyebebwa ni kitinda mimba wangu Lusekelo Mwaikenda na mwingine ni Fatma Nassoro mtoto wa shemeji yangu
MGOMBA UKIWA UMESTAWI VILIVYO

Kutoka kushoto ni Ezeleina Mwaikenda na kutoka kulia ni Monji na Tuse Mwaikenda

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU