MWANAFUNZI WA UDSM ALIYEPIGWA RISASI KWA TUHUMA ZA UJAMBAZI AZIKWA DAR

 Waumini wa Dini ya Kiislamu wakienda kuzika mwili wa Ustadh, Imamu na Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,  Salum Almas wakitokea Msikiti wa Kichangani Magomeni jijini Dar es Salaam jana. Salum alipigwa risasi na Jeshi la Polisi May 14 mwaka huu akituhumiwa kuwa ni jambazi eneo la Kurasini shimo la Udongo.




Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA