MWILI WA MZEE KANYASU 'ALIYESHORA' NEMBO YA TAIFA WASAFIRISHWA LEO

Waombolezaji wakiongozwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mungereza (kushoto) wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu Francis Kanyasu, Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar es Salaam jana, tayari kwa safari ya kwenda nyumbani kwao wilayani Misungwi, Mwanza kwa mazishi. Kanyasu alikuwa anadai kwamba ndiye aliye chora nembo ya Taifa. (NA MPIGAPICHA MAALUMU)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.