Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo na wa Kati wa Banki ya NMB, Omary Mtiga akizungumza na zaidi ya watoto 450 waliopo kwenye mfungo mtukufu wa Ramadhani kutoka vituo mbalimbali vya watoto yatima vya jijini Dar es Salaam. NMB kwa kushirikiana na Mbunifu wa Mavazi nchini, Khadija Mwanamboka ambaye ni mmiliki wa mgahawa wa VVK na wadau wengine katika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika wamefanikiwa kufuturisha watoto hao yatima kutoka vituo mbalimbali vya jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo na wa Kati wa Banki ya NMB, Omary Mtiga (wa pili kulia) akitoa zawadi kwa watoto walioshiriki katika futari iliyoandaliwa na Mbunifu wa Mavazi nchini, Khadija Mwanamboka ambaye ni mmiliki wa mgahawa wa VVK na wadau wengine ikiwemo Benki ya NMB katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika. Shughuli hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Shabaan Robert uliopo Upanga na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali pamoja na wadau waliosaidia kufanikisha jambo hilo wakiwemo NMB na wengine. Baadhi ya watoto waliopo kwenye mfungo mtukufu wa Ramadhani kutoka vituo mbalimbali vya watoto yatima vya jijini Dar es Salaam wakiwa katika futari iliyoandaliwa na NMB kwa kushirikiana na Mbunifu wa Mavazi nchini, Khadija Mwanamboka ambaye ni mmiliki wa mgahawa wa VVK na wadau wengine katika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika. Sehemu ya watoto waliopo kwenye mfungo mtukufu wa Ramadhani kutoka vituo mbalimbali vya watoto yatima vya jijini Dar es Salaam, wakiwa katika futari iliyoandaliwa na NMB (mdhamini) kwa kushirikiana na Mbunifu wa Mavazi nchini, Khadija Mwanamboka ambaye ni mmiliki wa mgahawa wa VVK na wadau wengine katika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika. Sehemu ya zaidi ya watoto 450 waliopo kwenye mfungo mtukufu wa Ramadhani kutoka vituo mbalimbali vya watoto yatima vya jijini Dar es Salaam wakiwa katika futari hiyo kwenye Ukumbi wa Shaan Robert. Sehemu ya zaidi ya watoto 450 waliopo kwenye mfungo mtukufu wa Ramadhani kutoka vituo mbalimbali vya watoto yatima vya jijini Dar es Salaam wakiwa katika futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwenye Ukumbi wa Shaan Robert.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments