Picha ya Queen Darleen akiwa na bunduki ya zua utata mitandaoni


Queen Darleen

0
Queen Darleen ni mmoja wa wasanii kutoka Wasafi records na ingawa yeye pia ndio mwanamke pekee katika label hiyo ya Diamond Platnumz mrembo huyu ni kama dada yake.
Hivi karibuni Queen darleen aliweka picha huku akionekana kuwa amebeba bunduki ambayo imeletautata mitandaoni. Kulingana na mashabiki bunduki hii inaonekana kuwa sio ya kweli, huku wengine wakidai kuwa alitaka kujionyesha kwenye mitanondi.
Hata hivyo, Queen Darleen hakuwajibu mashabiki wake kuzuia kujibishana na wengi wao ambao hawakukifurahia kitendo hiki. Tazama picha hiyo hapa:

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.