SAFARI YA MWISHO YA BALOZI ABDULCISCO OMAR MTIRO


Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Balozi Abdulcisco Omar Mtiro almarufu kama CISCO likiwa nyumbani kwake Mikocheki B, Jijini Dar es salaam tayari kwa ibada ya kuuaga mwili kabla ya kwenda kuuhifadhi kwenye Nyumba yake ya Milele, katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar mchana huu.

Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir akizungumza machache kabla ya kuuswalia Mwili wa Marehemu Balozi Abdulcisco Omar Mtiro almarufu kama CISCO nyumbani kwake Mikocheki B, Jijini Dar es salaam.

Rais Mstaafu, Alhaj Ally Hassan Mwinyi akijumuika na viongizi wastaafu wa Serikali katika Msiba wa Marehemu Balozi Abdulcisco Omar Mtiro almarufu kama CISCO nyumbani kwake Mikocheki B, Jijini Dar es salaam.


Kisomo cha kumuombea Marehemu Balozi Abdulcisco Omar Mtiro almarufu kama CISCO kikiendelea nyumbani kwake Mikocheki B, Jijini Dar es salaam.










Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.