TANZANIA YA TANO KWA WINGI WA WATU AFRIKA

Tanzania ni nchi ya tano kwa wingi wa watu Afrika. nchi zingine ni Nigeria, Ethiopia, Misri na DRC Congo.

Hayo yamesemwa leo bungeni, Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, alipokuwa akiwasilisha Bajeti Kuu ya mwaka 2017/18. kwa mwaka jana ilikadiriwa kuwa na zaidi ya watu milioni 48.

Pia Tanzania ni nchi ya pili kwa ustawi Afrika Mashariki ikitanguliwa na Kenya.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.