VERA SIDIKA AJIBU MAPIGO YA HUDDAH

Vera Sidika ameamua kujibu mabigo kwa hasimu wake wa muda mrefu, Huddah Monroe kupitia biashara yake mpya.

 Picha ya cover la bidhaa ya Lipstick ya Huddah Monroe
Mrembo huyo anayewatoa udenda vidume wengi ameonekana kama amejibu mapigo kwa Huddah baada ya hasimu wake huyo kuzindua bidhaa ya Lipstick mwaka jana na inaonekana kupata mafanikio makubwa nchini humo kwa kununuliwa zaidi.
 Vera ameingiza bidhaa inayofanana na majani ya chai kwa ajili ya kusaidia kupunguza mafuta yasiyo na kazi mwili. Uzinduzi huo umefanyika huko Kenya ambapo eneo lililofanyikia sherehe hizo lilipambwa kwa rangi za kijani na nyeupe huku mrembo huyo mwenye umbo matata akivalia gauni linalochora mwili wake.

Na Laila Sued

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*