Yanga imeifunga Tusker ya Kenya penalti 4-2 katika mchezo wa Ligi ya SportPesa Super Cup kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam leo baada ya kutoka suluhu ndani ya dk 90.
Kwa ushindi huo Yanga imeingia nusu fainali ya Kombe hilo ambapo itapambana na FC Leopard ya Kenya ambayo imefuzu baada ya kuifunga Singida United kwa penalti 5-4 baada ya kutoka sare ya 1-1 katika kipindi cha dk 90..YANGA IMETINGA NUSU FAINALI YA SPORTPESA SUPER CUP BAADA YA KUING'OA TUSKER KWA MIKWAJU YA PENALTI
Kwa ushindi huo Yanga imeingia nusu fainali ya Kombe hilo ambapo itapambana na FC Leopard ya Kenya ambayo imefuzu baada ya kuifunga Singida United kwa penalti 5-4 baada ya kutoka sare ya 1-1 katika kipindi cha dk 90..YANGA IMETINGA NUSU FAINALI YA SPORTPESA SUPER CUP BAADA YA KUING'OA TUSKER KWA MIKWAJU YA PENALTI
Comments