Zari ajibu… ni baada ya picha aliyoipost Diamond kwa hasira



Dakika chache zilizopita mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz alionekana kukasirishwa na picha ya mpenzi wake ‘Zari‘ kuonekana na Mwanaume kwenye spa katika picha zilizosambaa.
Maneno ya Diamond Platnumz baada ya hiyo picha ni haya >>> “Ndio maana wakati mwingine naonaga bora tu nile na kusepa…. maana hawathaminikagi wala kuaminika hawa
Baada ya maneno hayo ya Diamond, Zari nae ametuma post mbili kutolea ufafanuzi hizo picha kwa kuandika kuwa Mwanaume aliyeonekana nae ktk picha ni Binamu wa Marehemu Ivan na hiyo picha yao  ilipigwa na Mke wake.
Kwenye post nyingine Zari aliweka picha nne kwenye picha moja na kuonyesha watu aliokua nao siku hiyo na kuonyesha kukasirishwa na waliozisambaza hizo picha…. akaandika >>> “And to the fools circulating this nonsense mnitole nja zak****e kwa maisha yangu punda nyinyi…..
Tunaamini haya yatapita na amani itarejea…. bado tungependa kuwaona pamoja wakifurahia mapenzi yao

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.