MSHAHARA MPYA WA LIONEL MESSI KUFURU TUPU



Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi.
LIONEL Messi amesaini mkataba mpya unaomfanya alipwe mshahara ambao umevuka kiwango kinachotakiwa kulipwa kwa mchezaji, lakini Rais wa Barcelona, Josep Maria Bartomeu, amesisitiza fowadi huyo anastahili alipwe hivyo kwa kuwa ni mchezaji bora zaidi katika historia ya soka.
Messi, analipwa pauni 500,000 (Sh bilioni 1.4) kwa wiki, katika mkataba wa miaka minne unaotarajiwa kumalizika mwaka 2021.
Rais huyo amepuuza uvumi kwamba mshahara huo unaweza kuwaletea matatizo Barcelona kutoka kwa Shirikisho la Soka Ulaya, kupitia kitengo chao cha Financial Fair Play.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*