Mstaafu J.K, Mama Makinda msibani kwa Waziri Mwakyembe

Watu mbalimbali wameendelea kuwasili nyumbani kwa Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Dr.  Harrison Mwakyembe kutoa pole kufuatia kifo cha mke wa Dr. Mwakyembe, Linah George  aliyefariki akiwa Aga Khan Hospital Dar es salaam.
Miongoni mwa waliofika kutoa pole ni pamoja na Rais mstaafu wa awamu ya 4 Jakaya Mrisho Kikwete.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*