TAARIFA YA KIFO CHA AL HAJJI ABBAKARI GALIATANO


Kwa masikitiko makubwa Familia ya Al hajji Galiatano wa Bukoba inawatangazia kifo cha Mzee wao mpendwa Al hajji Abbakari Galiatano kilichotoa  leo Jumamosi July 8,2017 Katika hospitali ya Mkoa Kagera.
Mazishi yake yanatarajiwa kufanyika kesho Jumapili saa saba mchana nyumbani kwake Kijijini Buganguzi Muleba.
Tunamuomba Mungu ailaze roho yake mahari pema peponi Amina ... 
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un!!

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI