Preview YouTube video TEF Wamaliza Tofauti Kati Yao Na Makonda
Preview YouTube video Watu 11 Washikiliwa Kwa Kumuua Kikatili Mwanamke Mmoja Dodoma
Preview YouTube video Watanzani Waaswa Matumizi Mabaya Ya Mitandao Ya Kijamii
Preview YouTube video Wakulima Na Wafugaji Wakutanishwa Kutatua Mgogoro Baina Yao
Preview YouTube video Uzinduzi Wa Namba Ya Jeshi La Zimamoto Na Uokoaji
Preview YouTube video Waziri Mkuu Apokea Msaada Wa Magari Matatu
Preview YouTube video Katibu Mkuu Jumuiya Ya Madola Kuzuru Nchini
Preview YouTube video Mkoa Wa Mara Waagizwa Kutaifisha Shamba Lililotelekezwa Na Mwekezaji
Preview YouTube video Akina Mama Wajasiriamali Waahidi Kuunga Mkono Tanzania Ta Viwanda
Preview YouTube video Uzalishaji Wa Korosho Waongezeka Nchini
Preview YouTube video Wanaokaidi Kufuta Tozo Kwa Wakuliama Kufukuzwa Kazi
Preview YouTube video Wadau Watakiwa Kuwapatia Wakulima Ujuzi Wa Kilimo Cha Kisasa
Preview YouTube video TEF Waondoa Zuio La Kutoandika Habari Za Makonda
Preview YouTube video Kampuni Ya Foton Yatoa Msaada Wa Magari Matatu
Preview YouTube video Waandaji Wa Maonesho Ya Nane Vane Wapewa Changamoto
Preview YouTube video Watanzania Watakiwa Kuacha Kuamini Ushirikina
Preview YouTube video Wakazi Wasio Na Maji DSM Watakiwa Kujitokeza
Preview YouTube video Vijana Barani Afrika Wapewa Changamoto
Preview YouTube video Watoa Huduma Za Mawasiliano Wapewa Changamoto
Preview YouTube video Wagombea TFF Wanandi Sera Zao
Preview YouTube video Mashabiki Wa Simba Watia Fora Tamasha La Simba Day
Preview YouTube video Mayweather Amkubali Mcgregory
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments