KIKAO CHA WACHEZAJI WA ZAMANI LEO UWANJA WA TAIFA


Aliyekuwa mgombea Urais katika uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ally Mayay akitoa shukrani zake kwa wachezaji wenzake wa zamani nchini katika kikao kilichofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Mchezaji wa zamani wa Tukuyu Stars, Simba na Yanga, Suleiman Mathew (kushoto) akiwa na kiungo wa zamani wa Yanga, Thabit Badru Bushako 
Kutoka kushoto Ngade Chabanga, Abubakar Mtiro na Juma Pinto
Wachezaji wa zamani wa Simba, Spear Mbwembwe (kulia) na George Masatu (kushoto)
Wachezaji wa zamani wa Simba, Mashaka Ayoub (kushoto) na Said Maulid 'SMG' (kulia) aliyecheza na Yanga pia
Wachezaji wa zamani wa Yanga, Manyika Peter (kushoto) na Shaaban Ramadhan aliyecheza na Simba pia 
Kiongozi Mkuu wa umoja huo unaojulikana na kama Galactico, Muddy Sebene (kushoto) akiwa na kiungo wa zamani wa Yanga, Mohammed 'Rishard' Adolph 
Wachezaji wa zamani wa Simba, Madaraka Selemani (kulia), Duwa Said (kushoto) na George Lucas 'Gazza' nyuma yao

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*