Uhuru – 8,030,150 (54.27%) Raila – 6,634,331 (44.84%)
Valid votes: 14,795,377 Reporting Stations: 39,755 out of 40,883 01:20am August 09, 2017 UPDATE:
Tume ya Uchaguzi(IEBC) Imetangaza matokeo ya vituo 29,209 kati ya 40,883. Uhuru Kenyatta kura 6,044,745 (55.27%) na Raila Odinga kura 4,805,159 (43.93%).
09:00am August 09, 2017 UPDATE:
Tume ya Uchaguzi(IEBC) imetangaza matokeo ya vituo 36,912 kati ya 40,883. Uhuru Kenyatta kura 7,511,454 (54.62%) na Raila Odinga kura 6,124,426 (44.53%)
12:00pm August 09, 2017 UPDATE:
Tume ya Uchaguzi(IEBC) imetangaza matokeo ya vituo 38,341 kati ya 40,883. Uhuru Kenyatta kura 7,776,101 (54.4%) na Raila Odinga kura 6,394,921 (44.74%)
Agosti 8, Matokeo ya urais kufikia sasa
Matokeo ya vituo 293 kati ya jumla ya vituo 40883 kote nchini Kenya yametangazwa. Kufikia sasa
Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee ana kura 21,925 (63.24%)
Raila Odinga wa chama cha ODM ana kura 12,238 (35.3%)
Mohamed Abduba Dida wa chama cha ARK ana kura 53 (0.15%)
Ekuru Aukot wa Thirdway Alliance 40 (0.12%)
Michael Wainaina (huru) 15 (0.04%)
Japheth Kaluyu 327 (0.94%)
Joseph Nyagah (huru) 51 (0.15%)
Cyrus Jirongo wa chama cha UDP 18 (0.05%)
Agosti 8, Matokeo uchaguzi wa urais kufikia sasa: Kenyatta na Odinga
Matokeo kutoka vituo vya kupigia kura 2642 kati ya jumla ya 40883 :
Uhuru Kenyatta ana kura 385,649 (59.61%)
Raila Odinga wa ODM 256,582 (39.66%)
Odinga.
Agosti 8, Saa Odinga aongoza matokeo ya urais Arusha
Shughuli ya kuhesabu kura za Wakenya wanaoishi nje ya nchi, ambao wamepigia kura mjini Arusha, Tanzania imekamilika.
Raila Odinga amepata kura 92, naye Uhuru Kenyatta 68.
Ekuru Aukot wa Thirdway Alliance amepata kura 2.
Upigaji kura umekuwa ukifanyika Arusha, katika katika balozi za Kenya miji ya Dar es Salaam, Kigali, Kampala na Pretoria.
Agosti 8, Saa 19:47==>Matokeo ya karibuni zaidi: Odinga na Kenyatta
Matokeo ya vituo 5455 kati ya jumla ya vituo 40883
Uhuru Kenyatta 904,477 (57.54%)
Raila Odinga 656293 (41.75%)
Agosti 8, Saa 21:43 ==>Matokeo ya punde zaidi uchaguzi wa urais kenya
Matokeo ya vituo 9,405 kati ya 40,883
Uhuru Kenyatta wa Jubilee ana kura 1,665,740 (55.39%)
Raila Odinga wa ODM ana kura 1,319,200 (43.87%)
Agosti 8, Saa 23:13 Matokeo ya punde zaidi kutoka IEBC
Matokeo ya vituo 17051 kati ya 40883.
Uhuru Kenyatta wa Jubilee ana kura 3,336,790 (54.86%)
Raila Odinga wa ODM 2,699,908 (44.39%)
Kura ambazo zilikuwa zimeharibika kufikia sasa ni 149, 634.
Agosti 9, Saa 0:46 ==>Matokeo ya karibuni zaidi uchaguzi wa urais Kenya
Baada ya matokeo ya vituo 26279 kati ya vituo 40883 kutangazwa:
Uhuru Kenyatta wa Jubilee ana kura 5,447,235 (55.21%)
Raila Odinga wa ODM ana kura 4,340,806 (44%)
Agosti 9, Saa 0:51==>Matokeo ya urais kufikia sasa
Matokeo ya vituo 27016 kati ya jumla ya vituo 40883
Uhuru Kenyatta wa Jubilee ana kura 5,602,722 (55.22%)
Raila Odinga wa ODM ana 4,462,244 (43.98%)
Agosti 9, Saa 1:09==>Kenyatta aendelea kupanua uongozi Kenya
Katika matokeo yaliyotangazwa kufikia sasa, Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee anaongoza akiwa na kura 5,743,793 (55.25%).
Mpinzani wake mkuu Raila Odinga wa muungano wa upinzani National Super Alliance (Nasa) ana kura 4,568,561 (43.95%).
Matokeo hayo ni ya vituo 27683 kati ya 40,883. Kura zilizoharibika zimeongezeka pakubwa na kufikia 260588.
Agosti 9, Saa 1:40
Tume imetangaza matokeo ya vituo 28172 kati ya jumla ya vituo 40883.
Uhuru Kenyatta wa Jubilee ana kura 5,832,837 (55.18%)
Raila Odinga wa ODM 4,652,710 (44.02%)
Abduba Dida wa ARK 18,924 (0.18%)
Japheth Kaluyu (huru) 7,834 (0.07%)
Michael Wainaina (huru) 5,789 (0.05%)
Joseph Nyagah (huru) 26,069 (0.25%)
Ekuru Aukot wa Thirdway Alliance 18,373 (0.17%)
Cyrus Jirongo wa UDP 7,520 (0.07%)
Agosti 9, Saa 1:48==>Kenyatta akaribia kutimiza kura 6m
Kutoka kwa kura 10 840 719 zilizohesabiwa na kukubalika kufikia sasa, Uhuru Kenyatta anaendelea kuongoza kinyang’anyiro cha urais akiwa na kura 5,989,509 (55,25%) dhidi ya mpinzani wake wa karibu Raila Odinga aliye na kura 4,764,577 kufikia sasa (43,95%).
Agosti 9, Saa 6:39, Matokeo ya uchaguzi wa urais Kenya kufikia sasa
Tume ya uchaguzi imetangaza matokeo kutoka kwa vituo 34,180 kati ya jumla ya vituo 40883 ambapo:
Uhuru Kenyatta wa Jubilee ana kura 6,998,750 (55.01%)
Raila Odinga wa ODM kura 5,619,817 (44.17%)
Joseph Nyagah (huru) 31,107 (0.24%)
Abduba Dida wa ARK 26,000 (0.2%)
Ekuru Aukot wa Thirdway Alliance 22,101 (0.17%)
Japheth Kaluyu (huru) 9,445 (0.07%)
Cyrus Jirongo wa UDP 9,129 (0.07%)
Michael Wainaina (huru) 6,967 (0.05%)
Kura zilizoharibika kufikia sasa ni 326,001
Agosti 9, Saa 7:06==>Matokeo ya urais ya sasa hivi
Katika matokeo ya vituo 35095 kati ya 40883:
Uhuru Kenyatta wa Jubilee ana kura 7,163,684 (54.82%)
Raila Odinga wa ODM ana kura 5,794,443 (44.34%)
Kura zilizoharibika kufikia sasa ni 338,584
Agosti 9, Saa 18:35 ==>Matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais kufikia sasa
Katika matokeo ya awali ya vituo 39091 kati ya 40883 yaliyopakiwa na IEBC mtandaoni:
Uhuru Kenyatta wa Jubilee ana kura 7,977,905 (54.32%)
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
πΆ Matokeo ya Klabu bingwa Africa Robo fainali katika hatua ya mkondo wa kwanza. ✅Mpaka hapo Simba peke ndiyo timu iliyoruhusu goli huku Al Ahly ndiyo timu pekee iliyopata Ushindi katika michuano hii mkondo wa kwanza ligi ya Mabingwa Africa .
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Mathayo David Mathayo wakinywa maji ya bomba baada ya kuzindua mradi wa maji katika Kijiji cha Gonjanza, Kata ya Suji, wilayani Same, mkoani Kilimanjaro,wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Mathayo David Mathayo wakishiriki kufukia bomba la mji wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji katika Kijiji cha Gonjanza, Kata ya Suji. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Mathayo David Mathayo alipowasili katika Shule ya Sekondari ya Njoro katika Jimbo la Same Magharibi ambapo alishiriki ujenzi wa vyumba vya madarasa. wananchi wakiwa wamejipanga kumlaki Komredi Kinana katika Shule ya Sekond
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amemtembelea kumjulia hali mmoja wa Makatibu Wakuu Wastaafu wa CCM, Mzee Yusuf Makamba, Jumatatu, Aprili 1, 2024, nyumbani kwake jijini Dar Es Salaam. Akimpongeza kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo na kumtakia heri kwenye majukumu hayo mapya, Mzee Makamba amemzawadia Balozi Dk. Nchimbi shati moja la sare ya Chama Cha Mapinduzi, ikiwa ni ishara ya kifaa cha kazi, ambapo Katibu Mkuu huyo wa CCM, alipokea pongezi na kumshukuru kwa zawadi hiyo. *****####*****
KILA GOLI MILIONI 1 πππ Kiungo Mshambuliaji wa Young Africans Stephane Aziz Ki katoa Ahadi "Mchezaji yeyote atakae Funga Goli dhidi Mamelod Sundowns atapatiwa kiasi cha MILION 1 kutoka kwake. Pia kasema kwa upande wa Mabeki wakizuia vizuri bila kuruhusu goli watapatiwa MILION 1..! Sio Game ya Viongozi tu hata wachezaji wenyewe wanaitaji Mechi..!✅ Amesema Ally Kamwe Msemaji Wa Yanga #travellerwayanga #yangascupdates
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi akihutubia wananchi waliomsimamisha wakiongozwa na Mbunge la Kwela, Deus Sangu katika Kijiji cha Chombe, mkoani Rukwa wakimuomba azipatie ufumbuzi kero zao za ukarabati wa shule, Kituo cha Afya n, miundombinu ya barabara na wakulima kupewa kibali cha kuuza mahindi yao nchi ya za jirani. Nchimbi ambaye msafara wake ulikuwa unatokea Sumbawanga Mjini kwenda Songwe,baada ya kusikiliza kilio chao hicho, aliwaagiza mawaziri wanaohusika na kero hizo kufanya jitihada za kuzipatia ufumbuzi ikiwemo Wizara ya Kilimo kutoa vibali vya kuuza mahindi katika nchi jirani na kuwaahidi kuwa mahindi hayo yatanunuliwa na serikali. Aliwasihi wakipewa vibali wasiuze mahindi yote wabakize kwa ajili ya chakula. Dkt. Nchimbi ambaye ameambatana na baadhi ya wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla pamoja na Katibu wa Oganaizesheni, Issa Haji Gavu ameanza ziara ya kikazi ya
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akishiriki utoaji wa heshima za mwisho, kumwaga mchanga na kuweka shada la maua, wakati wa mazishi ya Askofu wa Kanisa la New Life Gospel Community Church (NLGCC), Jimbo la Mara Kaskazini, marehemu Fransisca Mwita Gachuma, yaliyofanyika Jumamosi, Machi 30, 2024, huko Komaswa, Tarime Vijijini. Askofu Gachuma alikuwa mwenza wa Ndugu Christopher Mwita Gachuma, ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Taifa, kutokea Mkoa wa Mara. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akisalimiana na kuzungumza jambo na Askofu Mkuu wa Kanisa la New Life Gospel Community Church (NLGCC), Dkt. Daniel Ouma (mwenye joho), mara baada ya misa ya kumuombea marehemu, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Ndugu Kassim Majaliwa Majaliwa, alipowasili kushiriki shughuli ya mazishi y
... ⚙️ Ukiacha suala la kuwakosa key players wake (3), Gamondi alikuja na Approach sahihi dhidi ya Mamelodi Sundowns. Alibadili aina ya uchezaji uliozoeleka Yanga 'POSSESSION FOOTBALL' akaja na MID-BLOCK Mchezo ambao hawaupendi Mamelodi ambao umewaondosha mara kadhaa kwenye mashindano haya. Mamelodi walicheza kwa tahadhari kubwa ndio maana katika pasi 500+ walizopiga 70% ya pasi hizo walipiga kwenye eneo lao ... Gamondi aliwaachia mpira kwenye eneo lao na kuutaka kwa lazima wanapofika katikati ya uwanja. APPROACH ya kibingwa ☑️ Kama kocha unampa 80% kwa sababu matukio yote muhimu uwanjani yalifanywa na Yanga Kimbinu kilichobaki ilikuwa kuuweka mpira nyavuni tu umakini ulipungua kwa Mzize ×2, Aziz Ki ×1 na Musonda ×1,, Kocha afanye nini aingie afunge yeye ? ... Jibu ni Hapana, kazi yake alishamaliza. ( BASICS) Unaweza kumlaumu kocha iwapo tu timu haifiki na haitengenezi nafasi za kufunga kwenye goli la mpinzani. Takwimu hizi zinaeleza vizuri kwa muhtasari nilichoandika hapo
Comments