MAOMBI YA DHAMANA YA MANJI KUSIKILIZWA TENA AGOSTI 7

Mfanyabiashara Yusuf Manji akirejeshwa rumande baada ya maombi ya dhama yake kuahirishwa hadi Agosti 7 mwaka huu. kwa kuwa Jaji Isaya Arufani anayeendesha  kesi yake ana udhuru.

Manji alifikishwa leo Katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es Salaam, kusikiliza maombi yake ya kutaka mahakama itengue hati ya kunyimwa dhamana iliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mahakama Julai 5, mwaka huu kwa mashitaka ya uhujumu uchumi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI