RIDHIWANI AKABIDHI ZAWADI YA MCHEZAJI BORA SPORTS EXTRA


  Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani  Kikwete, akikabidhi tunzo ya Mchezaji bora kwa kocha wa timu ya Misosi FcYenye maskani  yake Manzese.
 Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dodoma (DOREFA),Mulamu Nghambi akikabidhi zwadi kwa Refalii borawa michuano ya Ndondo Cup.
 Mkurugenzi wa Vipindi wa kituo cha Televisheni na Radio ya Clouds , Shafii Dauda akikabidhi Zawadi ya Mwandishi bora wa Michuano ya Ndondo  Cup Charles Abel wa Mwananchi.
 Dogo Janja akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhi zawadi kwa shabiki bora wa michuano ya Ndondo Cup.
 Mpiga picha bora wa Michuano ya Ndondo Cup , Rachel Palangyo akiwa na Tunzo yake mara baadaya kukabidhiwa 
 Mwenyekiti wa Chama cha Soka cha DRFA , Almas Kasongo akikabidhi zawadi ya heshima kwa Dr JJ Mwaka.

 Dj Sinyorita kutoka kipindi cha XXL cha Clouds Fm akifanya yake katika utoaji wa Tunzo za watu waliofanya vizuri katika Michuano ya Ndondo Cup
 Mtangazaji wa kipindi cha Sports Extra , Mbwiga wa Mbwiguke akifanya yake ya kizaramo jukwaani
   Mbunge wa Chalinze Ridhiwani  Kikwete akimtunza Msanii wa Singeli Msaga Sumu 
 Msanii wa Muziki wa SINGELI nchini Msaga Sumu akifanya yake Jukwaani
 
 Wadau wa mpira walioshiriki hafla hiyo ya utoaji Tunzo katika michuano ya Ndondo Cup.
 Wadau wa mpira walioshiriki hafla hiyo ya utoaji Tunzo katika michuano ya Ndondo Cup.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.