VideoFUPI: Mfanyabiashara Yusuf Manji alivyofikishwa tena Kisutu leo


Siku chache baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kutupilia mbali maombi ya dhamana ya Mfanyabiashara Yusuf Manji, leo August 9, 2017 amefikishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Manji amefikishwa Mahakamani hapo leo kwa ajili ya kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili na wenzake watatu ambao ni Deogratias Kisinda, Abdallah Sangey na Thobias Fwele.
Endelea kukaa karibu na Ayo TV na millardayo.com na utapata kila kinachojiri kutoka Mahakamani…

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*