Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu , Simon Msanjila akisoma Zawadi ya Washindi shindano la Wanasayansi Chipukizi (YST)lililofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam Kulia ni Mkurugenzi wa Shell Afrika Mashariki na Bg Tanzania Marc Den Hartog akishuhudia
Wanafunzi wakiwashangilia washindi wa jumla wa Shindano la Wana Sayansi Chipukizi lililofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi wakishangilia mara baada ya kupata zawadi zao za ushindi katika shindano la Wanasayansi Chipukizi.
Comments