MKURUGENZI NAMAINGO AWATAKA WANACHAMA KUNUNUA HISA VIBIDAR

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Namaingo Business Agency, Ubwa Ibrahim akifungua Mkutano Mkuu Maalumu wa Ushirika Vibidar Namaingo Co-operative  Society Ltd) katika Makao Makuu ya kampuni hiyo, Ukonga Dar es Salaam, ambapo aliwahimiza wanachama wa Namaingo kujiunga haraka kwenye Ushirika wa Vibidar ili kurahihisisha upatikanaji wa mikopo kwa lengo  la kuendeleza miradi ya maendeleo inayosimamiwa na kampuni hiyo. Imeandaliwa na Richard Mwaikenda;Kamanda wa Matukio Blog.

Ubwa Ibrahim akifafanua jambo wakati wa mkutano huo
 Sehemu ya wanachama wakisikiliza kwa makini wakati Mkurugenzi huo akiwahutubia







Bi. Ubwa akionesha kitabu chenye mambo mbalimbali yanayofanywa na Kampuni ya Namaingo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.