|
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Namaingo Business Agency, Ubwa Ibrahim akifungua Mkutano Mkuu Maalumu wa Ushirika Vibidar Namaingo Co-operative Society Ltd) katika Makao Makuu ya kampuni hiyo, Ukonga Dar es Salaam, ambapo aliwahimiza wanachama wa Namaingo kujiunga haraka kwenye Ushirika wa Vibidar ili kurahihisisha upatikanaji wa mikopo kwa lengo la kuendeleza miradi ya maendeleo inayosimamiwa na kampuni hiyo. Imeandaliwa na Richard Mwaikenda;Kamanda wa Matukio Blog. |
Ubwa Ibrahim akifafanua jambo wakati wa mkutano huo
Sehemu ya wanachama wakisikiliza kwa makini wakati Mkurugenzi huo akiwahutubia
Bi. Ubwa akionesha kitabu chenye mambo mbalimbali yanayofanywa na Kampuni ya Namaingo
Comments