MKURUGENZI NAMAINGO AWATAKA WANACHAMA KUNUNUA HISA VIBIDAR

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Namaingo Business Agency, Ubwa Ibrahim akifungua Mkutano Mkuu Maalumu wa Ushirika Vibidar Namaingo Co-operative  Society Ltd) katika Makao Makuu ya kampuni hiyo, Ukonga Dar es Salaam, ambapo aliwahimiza wanachama wa Namaingo kujiunga haraka kwenye Ushirika wa Vibidar ili kurahihisisha upatikanaji wa mikopo kwa lengo  la kuendeleza miradi ya maendeleo inayosimamiwa na kampuni hiyo. Imeandaliwa na Richard Mwaikenda;Kamanda wa Matukio Blog.

Ubwa Ibrahim akifafanua jambo wakati wa mkutano huo
 Sehemu ya wanachama wakisikiliza kwa makini wakati Mkurugenzi huo akiwahutubia







Bi. Ubwa akionesha kitabu chenye mambo mbalimbali yanayofanywa na Kampuni ya Namaingo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA