Wanahabari na waombolezaji wengine wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa
mwandishi wa habari mwandamizi wa gazeti la Mwananchi, marehemu Joyce Mmasi wakiupeleka kwenye gari baada ya kuwagwa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam, tayari kusafirishwa kwenda kwa mkoani Kilimanjaro kwa Mazishi. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Jeneza lenye mwili wa marehemu Joyce Mmasi ukiingizwa kwenye gari tayari kwa safari
kwenda Moshi, Kilimanjaro.
Marehemu Joyce Mmasi enzi za uhai wake
Rowlings Nick Maira Mtoto wa kwanza wa marehemu Joyce Mmasi, akisoma wasifu wa mamake
wakati wa kuuaga mwili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.
Rowlings akiwa na msalaba
Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo akirtoa salamu za rambirambi wakati wa kuuga mwili wa marehemu Joce Mmasi. Wilaya hiyo iliruhusu viwanja hivyo kutumika kwa shughuli hiyo.
Rafiki wa karibu wa marehemu Mmasi, mwandishi wa habari mwandamizi, Mashaka Mgeta akielezea sifa alizokuwa nazo marehemu wakati wa uhai wake
Waombolezaji ambao asilimia kubwa ni wanahabari wakiwa katika shughuli za kumuaga mwenzao, marehemu Mmasi.
Mashaka Mgeta akiwa na simanzi wakati akitoa sifa alizokuwa nazo wakati wa uhai wa Joyce Mmasi
Simanzi na Vilio vikiwa vimetawala wakati wa msiba huo
Baadhi ya wanakamati ya shughuli ya kuuaga mwili wa marehemu, Mmasi wakitafakari jambo.Kutoka kushoto ni Theophil Makunga, Ibrahim Bakari, Shadrack Sagati, Mgaya Kingoba na Thomson Kasenyenda
Waombolezaji wakimsaidia mtu aliyezirai wakati wa kuuga mwili wa marehemu
Waombolezaji wakipita karibu na jeneza wakati wa kuuaga mwili wa marehemu Joyce Mmasi
Baadhi ya wanahabari aliowahi fanya nao kazi marehemu Joyce Mmasi katika Kampuni ya Business Times, iliyokuwa inachapisha magazeti ya Majira, Business Times, Majira Jioni, Dar Leo na Sanifu. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG-0715-264202
mwandishi wa habari mwandamizi wa gazeti la Mwananchi, marehemu Joyce Mmasi wakiupeleka kwenye gari baada ya kuwagwa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam, tayari kusafirishwa kwenda kwa mkoani Kilimanjaro kwa Mazishi. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Jeneza lenye mwili wa marehemu Joyce Mmasi ukiingizwa kwenye gari tayari kwa safari
kwenda Moshi, Kilimanjaro.
Marehemu Joyce Mmasi enzi za uhai wake
Rowlings Nick Maira Mtoto wa kwanza wa marehemu Joyce Mmasi, akisoma wasifu wa mamake
wakati wa kuuaga mwili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.
Rowlings akiwa na msalaba
Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo akirtoa salamu za rambirambi wakati wa kuuga mwili wa marehemu Joce Mmasi. Wilaya hiyo iliruhusu viwanja hivyo kutumika kwa shughuli hiyo.
Rafiki wa karibu wa marehemu Mmasi, mwandishi wa habari mwandamizi, Mashaka Mgeta akielezea sifa alizokuwa nazo marehemu wakati wa uhai wake
Waombolezaji ambao asilimia kubwa ni wanahabari wakiwa katika shughuli za kumuaga mwenzao, marehemu Mmasi.
Mashaka Mgeta akiwa na simanzi wakati akitoa sifa alizokuwa nazo wakati wa uhai wa Joyce Mmasi
Simanzi na Vilio vikiwa vimetawala wakati wa msiba huo
Baadhi ya wanakamati ya shughuli ya kuuaga mwili wa marehemu, Mmasi wakitafakari jambo.Kutoka kushoto ni Theophil Makunga, Ibrahim Bakari, Shadrack Sagati, Mgaya Kingoba na Thomson Kasenyenda
Waombolezaji wakimsaidia mtu aliyezirai wakati wa kuuga mwili wa marehemu
Waombolezaji wakipita karibu na jeneza wakati wa kuuaga mwili wa marehemu Joyce Mmasi
Baadhi ya wanahabari aliowahi fanya nao kazi marehemu Joyce Mmasi katika Kampuni ya Business Times, iliyokuwa inachapisha magazeti ya Majira, Business Times, Majira Jioni, Dar Leo na Sanifu. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG-0715-264202
Comments