JESHI LA POLISI LAKANUSHA KUWAKAMATA WAVAA VIMINI, WANYOA VIDUKU
on
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
Polisi nchini Tanzania, imekanusha taarifa zilizoenea kwamba imepiga marufuku uvaaji wa nguo fupi au 'miniskirt' na vile vile nguo zinazobana. Kamanda wa polisi Mkoa wa Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema taarifa hizo ambazo zimeandikwa katika moja ya magazeti nchini sio za kweli, na "zimetengenezwa" na "kuchongwa" kwa lengo la kutafuta umaarufu.
Kutokana na taarifa hizo zilizozagaa katika mitandao ya kijamii, mjadala mkali uliibuka katika mitandao ya kijamii huku baadhi wakihoji, ni kipengele gani cha sheria kitakachotumiwa kukamata watu watakao kuwa wamevaa nguo fupi.
Hata hivyo, ikumbukwe kwamba, nchini Tanzania, kuna utaratibu wa mavazi maalumu hasa katika majengo ya ofisi za serikali, ambapo wafanyakazi na wageni wanatakiwa kufuata muongozi huo.
Chini hapa ni orodha 6 ya mavazi yanayopigwa marufuku katika majengo ya umma Tanzania.
1.Kaptula ya aina yeyote
Kwa mujibu wa menejimenti ya utumishi wa umma, wanawake na wanaume wafanyakazi wa umma hawaruhusiwi kuvaa kaptula kazini.
2. Nguo zinazobana na kuonesha maumbile
Picha ya muongozo wa mavazi zinabandikwa katika sehemu za kuingilia majengo ya umma, ili kuelekeza wasimamizi na wageni utaratibu wa sehemu hio. Wengi watakaokosa kufuata uratatibu mara nyingi hurudishwa au huelekezwa kutafuta vazi la kujistiri, kama vile khanga kwa wanawake.
3. Suruali yeyote iliaochwa bila kupindwa
4.Kikoi au Msuli
Japo nguo hizi zinaweza kutafsiriwa kama mojawapo za nguo za kitamaduni, haziruhusiwi katika majengo ya umma Tanzania.
5. Nguo zenye maandishi zisizoendana na shughuli za serikali
Wafanyakazi hawaruhusiwi kuvaa nguo zenye michoro na maandishi au picha ambazo utawala wa utumishi wa umma umeelezea kuwa 'haziendani na shughuli za serikali.' Pamoja na hayo wafanyakazi wa umma wamepigwa marufuku kuvaa nguo zenye maandishi ya chama chochote cha siasa au kuonesha ushabiki wa kitu fulani.
6. Nguo ambazo zinaacha wazi au kuonesha sehemu ya mwili
Nguo ambazo zinaacha sehemu ya mwili wazi kama vile kitovu na kifua au zinazoonyesha maungo ya mwili.
Je, unakubaliana na muongozo huu? Je, katika nchi yako kuna utaratibu gani wa mavazi?
Picha :OFISI YA RAIS,MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA, JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Polisi nchini Tanzania, imekanusha taarifa zilizoenea kwamba imepiga marufuku uvaaji wa nguo fupi au 'miniskirt' na vile vile nguo zinazobana. Kamanda wa polisi Mkoa wa Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema taarifa hizo ambazo zimeandikwa katika moja ya magazeti nchini sio za kweli, na "zimetengenezwa" na "kuchongwa" kwa lengo la kutafuta umaarufu.
Kutokana na taarifa hizo zilizozagaa katika mitandao ya kijamii, mjadala mkali uliibuka katika mitandao ya kijamii huku baadhi wakihoji, ni kipengele gani cha sheria kitakachotumiwa kukamata watu watakao kuwa wamevaa nguo fupi.
Hata hivyo, ikumbukwe kwamba, nchini Tanzania, kuna utaratibu wa mavazi maalumu hasa katika majengo ya ofisi za serikali, ambapo wafanyakazi na wageni wanatakiwa kufuata muongozi huo.
Chini hapa ni orodha 6 ya mavazi yanayopigwa marufuku katika majengo ya umma Tanzania.
1.Kaptula ya aina yeyote
Kwa mujibu wa menejimenti ya utumishi wa umma, wanawake na wanaume wafanyakazi wa umma hawaruhusiwi kuvaa kaptula kazini.
2. Nguo zinazobana na kuonesha maumbile
Picha ya muongozo wa mavazi zinabandikwa katika sehemu za kuingilia majengo ya umma, ili kuelekeza wasimamizi na wageni utaratibu wa sehemu hio. Wengi watakaokosa kufuata uratatibu mara nyingi hurudishwa au huelekezwa kutafuta vazi la kujistiri, kama vile khanga kwa wanawake.
3. Suruali yeyote iliaochwa bila kupindwa
4.Kikoi au Msuli
Japo nguo hizi zinaweza kutafsiriwa kama mojawapo za nguo za kitamaduni, haziruhusiwi katika majengo ya umma Tanzania.
5. Nguo zenye maandishi zisizoendana na shughuli za serikali
Wafanyakazi hawaruhusiwi kuvaa nguo zenye michoro na maandishi au picha ambazo utawala wa utumishi wa umma umeelezea kuwa 'haziendani na shughuli za serikali.' Pamoja na hayo wafanyakazi wa umma wamepigwa marufuku kuvaa nguo zenye maandishi ya chama chochote cha siasa au kuonesha ushabiki wa kitu fulani.
6. Nguo ambazo zinaacha wazi au kuonesha sehemu ya mwili
Nguo ambazo zinaacha sehemu ya mwili wazi kama vile kitovu na kifua au zinazoonyesha maungo ya mwili.
Je, unakubaliana na muongozo huu? Je, katika nchi yako kuna utaratibu gani wa mavazi?
Picha :OFISI YA RAIS,MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA, JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAPolisi nchini Tanzania, imekanusha taarifa zilizoenea kwamba imepiga marufuku uvaaji wa nguo fupi au 'miniskirt' na vile vile nguo zinazobana. Kamanda wa polisi Mkoa wa Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema taarifa hizo ambazo zimeandikwa katika moja ya magazeti nchini sio za kweli, na "zimetengenezwa" na "kuchongwa" kwa lengo la kutafuta umaarufu.
Kutokana na taarifa hizo zilizozagaa katika mitandao ya kijamii, mjadala mkali uliibuka katika mitandao ya kijamii huku baadhi wakihoji, ni kipengele gani cha sheria kitakachotumiwa kukamata watu watakao kuwa wamevaa nguo fupi.
Hata hivyo, ikumbukwe kwamba, nchini Tanzania, kuna utaratibu wa mavazi maalumu hasa katika majengo ya ofisi za serikali, ambapo wafanyakazi na wageni wanatakiwa kufuata muongozi huo.
Chini hapa ni orodha 6 ya mavazi yanayopigwa marufuku katika majengo ya umma Tanzania.
1.Kaptula ya aina yeyote
Kwa mujibu wa menejimenti ya utumishi wa umma, wanawake na wanaume wafanyakazi wa umma hawaruhusiwi kuvaa kaptula kazini.
2. Nguo zinazobana na kuonesha maumbile
Picha ya muongozo wa mavazi zinabandikwa katika sehemu za kuingilia majengo ya umma, ili kuelekeza wasimamizi na wageni utaratibu wa sehemu hio. Wengi watakaokosa kufuata uratatibu mara nyingi hurudishwa au huelekezwa kutafuta vazi la kujistiri, kama vile khanga kwa wanawake.
3. Suruali yeyote iliaochwa bila kupindwa
4.Kikoi au Msuli
Japo nguo hizi zinaweza kutafsiriwa kama mojawapo za nguo za kitamaduni, haziruhusiwi katika majengo ya umma Tanzania.
5. Nguo zenye maandishi zisizoendana na shughuli za serikali
Wafanyakazi hawaruhusiwi kuvaa nguo zenye michoro na maandishi au picha ambazo utawala wa utumishi wa umma umeelezea kuwa 'haziendani na shughuli za serikali.' Pamoja na hayo wafanyakazi wa umma wamepigwa marufuku kuvaa nguo zenye maandishi ya chama chochote cha siasa au kuonesha ushabiki wa kitu fulani.
6. Nguo ambazo zinaacha wazi au kuonesha sehemu ya mwili
Nguo ambazo zinaacha sehemu ya mwili wazi kama vile kitovu na kifua au zinazoonyesha maungo ya mwili.
Je, unakubaliana na muongozo huu? Je, katika nchi yako kuna utaratibu gani wa mavazi?
Picha :OFISI YA RAIS,MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA, JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Siku moja Imam Ahmad bin Hanbal ndiye alikuwa imam wa msikiti ambao ulikua umefurika waumini wengi. Waumini wakamuuliza: "Ewe Imam, wauona wingi huu wa watu waliokuja kuswali?" Akasema: "Hapana, sijaona hata mtu mmoja". Kwa mshangao mkubwa, mmoja wao akamuuliza: "Je, wewe ni kipofu mpaka usiwaone?" Swali lile lilikuwa na utovu wa adabu na heshima kwa Imam, lakini Imam Ahmad akawajibu: "Kipofu ni yule anayefumba macho yake asimuone mjane aliyeelemewa na mzigo mzito. Kipofu ni yule anayeelekea Qibla lakini akawageuzia mgongo yatima na masikini. Kipofu ni yule anayemsujudia Allah, lakini akawafanyia kiburi waja wake. Kipofu ni yule aliyesimama katika safu za wenye kusali lakini haonekani katika safu za wenye njaa na wasema kweli. Kipofu ni yule anayetoa sadaka siku moja, wakati ana uwezo wa kutoa sadaka kila siku. Kipofu ni yule anayefunga kuacha kula, lakini hafungi kuacha ya haramu. Kipofu ni yule anayeizunguka Nyumba Tukufu ya Makkah, lakini anasaha
" Sisi kama Serikali tumeweka mkakati wa kuchunguza shabiki yoyote Wakitanzania ambaye atakaye kwenda kinyume na uzalendo kuelekea mechi za CAFCL za Yanga na Simba" "Tukikuona umevaa jezi ya Mamelodi au Al Ahly tutakuchunguza na kukuchukulia hatua za kisheria vile inastahiki". - Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa UtamaduniSanaa na Michezo la Wananchi Newspapers in Twitter (X)
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT-Taifa), Mary Chatanda (katikati) akiwa na Kamisaa wa Sensa Tanzania, Anne Makinda (kulia) pamona na Katibu Mkuu wa UWT, Jokate Mwegelo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo madiwani wanawake kutoka mikoa 11 kwenye Ukumbi wa Kilimani jijini Dodoma Machi 25, 2024. Akizungumza katika mafunzo hayo amepata wasaa wa kuelezea mafanikio lukuki ya uongozi wa miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan ikiwemo ukamilishaji wa ujenzi wa Ikulu ya Dodoma, ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR, Daraja la Busisi Mwanza lililofikia asilimia 80, Bwawa la Mwalimu Nyerere, mradi wa mabasi ya mwendokasi (BRT) na mengine mengi. Chatanda akisisitiza jambo Katibu Mkuu wa UWT, Jokate Mwegelo akisema neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti wake, Chatanda. Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma, Neema Majule akisema neno la ukaribisho mkoani humo kwa wajumbe wa mafunzo hayo. Kamisaa wa Sensa Tanzania, Anne Makinda akihutubia wakati wa mafunzo hayo. Baadhi y madi
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Mathayo David Mathayo wakinywa maji ya bomba baada ya kuzindua mradi wa maji katika Kijiji cha Gonjanza, Kata ya Suji, wilayani Same, mkoani Kilimanjaro,wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Mathayo David Mathayo wakishiriki kufukia bomba la mji wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji katika Kijiji cha Gonjanza, Kata ya Suji. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, Mathayo David Mathayo alipowasili katika Shule ya Sekondari ya Njoro katika Jimbo la Same Magharibi ambapo alishiriki ujenzi wa vyumba vya madarasa. wananchi wakiwa wamejipanga kumlaki Komredi Kinana katika Shule ya Sekond
Baada ya kipigo cha Magoli (1-2) kutoka kwa Tanzania Prisons SC Kikiwa Kipigo cha Kwanza katika Mechi za Ligi kuu ya NBC Tanzania Bara Tangu Ajiunge na Klabu hiyo, Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba SC Abdelihak Benchikha, leo Machi 7,2024 ameondoka nchini kuelekea nyumbani kwao nchini Algeria kwa ajili ya kushiriki kozi ya ya ukocha kwa siku tano huku akitaraiwa kurejea nchini kuendelea na majukumu yake baada ya siku chache. Kocha Benchikha atakosa michezo miwili ya Ligi Kuu Bara, Mchezo kati ya Simba SC dhidi ya Coastal Union utakaochezwa March 9, 2024 Jijini Tanga pamoja na mchezo kati ya Simba SC dhidi ya Singida Foutane Gate FC utakaochezwa March 12 mwaka huu, Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu hiyo Ahmed Ally, amesema timu hiyo kwa sasa itakuwa chini ya Makocha wasaidizi Farid pamoja na Suleiman Matola Kwa kipindi chote ambacho kocha mkuu Benchika hatokuwepo katika majukumu yake hadi pale atakaporejea nchini.
" Mimi kwangu Mamelodi Sundown ndio timu pinzani zaidi kwenye mashindano ya CAF na tulipata taarifa kuwa walikuja na scout wao kutazama mchezo wetu dhidi ya Al Ahly pale Cairo" "Mipango yetu kwa sasa ni kujenga thamani kubwa zaidi Barani Afrika.mwaka Jana tumecheza fainali ya Kombe la Shirikisho ,Mwaka huu tutacheza robo fainali dhidi ya Mamelodi,kwetu hii ni kipimo kikubwa" "Licha ya ukubwa wa Mamelodi kuwa timu kubwa ,tumejipanga tayari Kwa ajili ya kupambana na Mamelodi Sundown.Niwaombe Wananchi wajitokeze Kwa wingi kuisapoti Yanga maana tunaenda kuweka historia ya kufuzu hatua ya nusu fainali lakini haiwezi Kwa kuwa rahisi lazima ucheze dhidi ya timu nzuri" "Hatujafika level ya juu lakini walau tumepiga hatua ,Mamelod wametuzudi pakubwa lakini dakika 90 za nyumbani na ugenini zinatosha kuonyesha timu ambayo itafuzu" Hersi Said (Rais wa Yanga) akieleza kuelekea mchezo wao dhidi ya Mamelod Sundowns kwenye ligi ya Mabingwa Barani Afrika. Foll
Comments