Rais John Magufuli amtembelea na kumpa pole mwanachama wa Chadema Kingunge Ngombale Mwiru
Rais Dk.John Magufuli amemtembea na kumjulia hali Mzee Kingunge Ngomable Mwiru aliyelazwa katika wodi ya Mwaisela, hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam.
Mzee Kingunge amelazwa hospitalini hapo akitibiwa majeraha baada ya kushambuliwa na mbwa nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam.
Hali ya Mzee Kingunge inaendelea vizuri
Rais Dk.John Magufuli amemtembea na kumjulia hali Mzee Kingunge Ngomable Mwiru aliyelazwa katika wodi ya Mwaisela, hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam.
Mzee Kingunge amelazwa hospitalini hapo akitibiwa majeraha baada ya kushambuliwa na mbwa nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam.
Hali ya Mzee Kingunge inaendelea vizuri
Comments