MKIKITA YAFANYA MAZUNGUMZO NA WAUZAJI WA KIWANDA CHA JUISI YA PAPAI

 Mkurugenzi wa Mkikita, Adam Ngamange (kulia), akizungumza na wafanyabiashara Visentini Steffano kutoka Italia na Duncan Washington wa Kenya wakati wa majadiliano, ambapo Mkikita kwa niaba ya wanachama ina mpango wa kununua mashine za kisasa za kutengenezea jusi za papai, embe na nanasi kutoka Italia. Wanachama watakuwa wanamiliki hisa kwenye kiwanda hicho. Kiwanda kinatarajiwa kujengwa Bagamoyo mkoani Kilimanjaro. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA-0715264202,0689425467
 Wakiendelea na mazungumzo hayo
 Mkurugenzi wa Mkikita, Adam Ngamange (kulia), akizungumza na wafanyabiashara Visentini Steffano kutoka Italia na Duncan Washington wa Kenya wakati wa majadiliano, ambapo Mkikita kwa niaba ya wanachama ina mpango wa kununua mashine za kisasa za kutengenezea jusi za papai, embe na nanasi kutoka Italia. Wanachama watakuwa wanamiliki hisa kwenye kiwanda hicho. Kiwanda kinatarajiwa kujengwa Bagamoyo mkoani Kilimanjaro. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA-0715264202,0689425467
 Wakiendelea na mazungumzo hayo
 Steffano akimchorea Ngamange mfano wa kiwanda hicho
 Steffano akiagana na Ngamange baada ya mazungumzo kumalizika
Ngamange akiagana na Washington

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA