DIAMOND AELEZEA ALIVYOCHANGANYWA NA MREMBO MMOJA WA NGUVU

Mapenzi ni matamu kuzidi asali, lakini ukitendwa huwa machungu zaidi ya shubiri. Diamond Platnumz amemtaja mrembo ambaye amewahi kumtoa chozi wakat wapo kwenye mahusiano.
Hitmaker huyo wa African Beauty, amemtaja mrembo huyo ni malkia wa filamu nchini Wema Sepetu.
Akiongea kwenye kipindi cha Msetoea cha Radio Citizen, Diamond amesema, “Enzi za mahusiano yangu na Wema, ameshawahi kuniliza sana.”
Bosi huyo wa WCB pia ameongeza kuwa Babu Tale aliwahi kumwambia ajiweke pembeni kwenye mahusiano hayo wakati yupo na Wema kutokana na penzi hilo kutokuwa sawa, hata hivyo yeye alimjibu kuwa akiwa na mrembo huyo ni kama yupo peponi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*