Dimpoz Hana mvuto, Hajakaa Kama Mwanaume-Amber Lulu

Dimpoz Hana mvuto, Hajakaa Kama Mwanaume-Amber Lulu

Msanii wa muziki bongo Amber Lulu amefunguka na kusema kuwa msanii Ommy Dimpoz hana mvuto wa kuwa mwanaume anaeweza kumuona kwa sababu amekaa kama kongo au mtu hasiejielewa hivi.Akiongea katika online tv ya Jonijo, mwanamuziki huyo alifunguka hayo alipoulizwa kuwa ikitokea kati ya jux na ommy dimpoz wakataka kumuoa ni na atamchagua ndipo alipokuja na majibu haya.
Unanitafutia bifu za Vannesa lakini obviously nitamchagua jux na wala sio ommy kwa sababu kwanza ommy hana ule mvuto na hajakaa kama mwanaume,yaan hajakaa kivile ila jux ndo yule mwanaume ambae hata ukimwamnagalia kwa macho tu unaona , lakini Ommy Dimpozi hawezi kukaa sehemu moja na Jux ku-battle  ni zero yani hana mvuto sijaona kitu ambacho kimenivutia kwake.”

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.