HATIMAYE YANGA YATOLEWA KLABU BINGWA AFRIKA

Wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga wametolewa kwenye mashindano hayo na timu ya Township Rollers ya Botswana baada ya kutoka sare ya bila kufungana katika mchezo wa marudiano na hivyo matokeo ya jumla kuwa Rollers 2-1 Yanga.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA