JINSI YA KUWAUA PANYA WENGI SHAMBANI AU MAJUMBANI


Wengi mmekua mkihangaika kumalizana na hawa jamaa hii ndo komesha yao twendeni :
Changanya mchanganyiko huu vizuri
Cement -Kilo 3
Unga wa ngano (wakiwandani) - kilo
Dagaa waliosagwa -robo kilo
Unga wa cocoa -vijiko sita
Chumvi laini -vijiko kumi vikubwa
Mchanganyiko utategemea na ukubwa wa vita yako .
Kisha nenda maeneo wanayopenda kushinda au ficho lao mwaga mchanganyiko huu ,pembeni weka maji ya kunywa .
INAFANYAJE KAZI !
Mchanganyiko huu ni mtamu sana kwa panya ,baada ya kufurahia mlo huu panya atasikia kiu kali ataenda kunywa maji,lahaula atakuwa amekamilisha mchanganyiko wa kutengeneza kitofari chakumbana tumbo ambacho kitamuua ndani ya siku 3 ,Mchanganyiko huu unauwezo wa kuua panya 1000 ndani ya siku 3.
Asanteni.
LikeShow more reactions
Comment

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.