WABUNGE SITA WAPATA AJALI MOROGORO



Wabunge sita wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepata ajali ya gari wakitokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam.

Ajali hiyo ilitokea jana usiku majira ya saa tatu mkoani Morogoro ambapo majeruhi walikimbizwa hospitali ya mkoa huo.
Hata hivyo wabunge hao leo asubuhi wamepatiwa rufaa kwa ajili ya kwenda kutibiwa Hospitali ya taifa ya Muhimbili na kufanyiwa uchunguzi wa kina.
Wabunge waliopata ajali wanatokea visiwani Zanzibar, wabunge hao ni pamoja na Haji Ameir Haji, Khamis Ali Vuai, Bhagwanji Maganlakal Meisuia, Makame Mashaka Foum, Juma Othman Hija.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI